Monday, September 16, 2013

KAMA ULIKUWA HUJUI,BASI HIKI NDICHO WCB TULICHOKIFANYA FIESTA MOROGORO USIKU WA JANA

Msimu wa Fiesta 2013,unaendelea na jana ilikuwa ni zamu ya watu wa Morogoro kupewa burudani harisi kutoka kwa watoto wa kitanzania,mimi na Crew yangu ya WCB tuliwasili Morogoro mapema mchana na kuungana na wasanii wenzangu,waliokuwa wameshatangulia.Kiukweli sitochoka kuwashukuru mashabiki wangu wa Moro kwa sapoti na mapenzi makubwa waliyoyaonyesha on stage,hawakuniangusha na hii inazidi kunipa deni la kuaandaa mambo mapya na mazuri zaidi kwa ajili yenu ..nisiongee sana,nakuachia picha ziongee zenyewe!!! Baada ya kuwasili eneo la tukio,nikisalimiana na baadhi ya wasanii waliokuwa wametangulia.. mmh Recho kunitoleaa macho!!Linah anachekelea tu kwa mbali Rommy Jones na Shadee wa Clouds

No comments:

Post a Comment

Reliable & Affordable Hosting+Web Services